iqna

IQNA

msomaji qurani
Sauti ya usomaji wa aya ya 15 hadi 18 za Sura Al Hujurat na vile vile aya za mwanzo za Sura ya Qaf kwa sauti nzuri ya Hamid Shakranjad, msomaji wa kimataifa wa Qur'ani Tukufu, iliyosomwa kwenye kaburi la Razavi, Imetolewa na Iqna
Habari ID: 3477732    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/14

Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /1
TEHRAN (IQNA) – Qari wa Misri Mahmud Ali Al-Banna (1926-1985) alikuwa miongoni mwa wasomaji mashuhuri wa Qur'ani wa zama zake.
Habari ID: 3475742    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/06

Msomaji Qur'ani wa Misri
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mohammed Buhairi Abdul Fattah ni qarii wa Kimisri ambaye usomaji wake wa Qur’ani Tukufu unawakumbusha wasikilizaji enzi nzuri ya usomaji wa Qur’ani nchini humo za Sheikh Abdul Basit Abdul Samad.
Habari ID: 3475737    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/05